
Fedha zilizokuwa zimeibiwa
Gifti amekamatwa Juni 18, 2023, katika mtaa wa Kangaroo, akiwa na fedha kiasi cha shilingi milioni 19.7 alizokuwa amezichimbia chini, licha ya kwamba kiasi halisi alichokuwa amekiiba ni milioni 21
Ni mara ya tatu sasa kwa Jeshi la Polisi Manyara kuokoa mamilioni ya fedha za wafanyabiashara
Awali Jeshi hili liliokoa kiasi cha Sh20 millioni za mfanyabiashara mjini Babati kisha kuokoa tena Sh 47 millioni za mfanyabiashara mwingine wa mji mdogo Mirerani na leo kiasi cha Sh21 millioni za mfanyabiashara mwingine zimeokolewa.