
Basi la mwendokasi lililopata ajali
Aidha taarifa zaidi kuhusu mtembea kwa miguu aliyegongwa na basi hilo itatolewa baadae.
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu jijini Dar es Salaam, bwakati basi la mwendokasi likitaka kulikwepa gari dogo na kupelekea kugonga ukuta.