Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Upanuzi kiwanda suluhu ya soko la miwa Kilombero

Jumatatu , 7th Jun , 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo, amesema suluhu ya kudumu ya miwa ya wakulima wa Kilombero ni upanuzi wa kiwanda cha Kiwanda cha Sukari cha Ilovo, ambacho kitawasaidia kuuza zaidi miwa yao.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo,

Prof. Mkumbo amebainisha hayo katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni, leo Juni 07 ambapo amesema upanuzi huo utaongeza uzalishaji wa sukari katika Kiwanda hicho kutoka tani 127,000 kwa mwaka hadi tani 271,000 kwa mwaka ikiwa ni ongezeko la tani 144,000.

“Suluhu ya kudumu ya miwa ya wakulima wa miwa kilombero ni upanuzi wa kiwanda hiki kwani wakulima watauza zaidi miwa yao kwa sababu kiwanda kitakuwa na uwezo wakuchukua zaidi ya mara tatu ya miwa wanaochukua sasa hivi,” amesema Prof. Mkumbo.

Aidha, Prof. Mkumbo ameahidi kufuatilia uhujumu wa wakulima wa miwa uliobainishwa na Mbunge wa Jimbo la Mikumi Dennis Londo akiitaka kujua tamko la serikali juu ya wanaotaka (kiwanda) kuhujumu wakulima wa miwa na Watanzania wanaoshirikiana na wawekezaji katika hilo.

“Tamko la serikali kuhusu wawekezaji wa viwanda Serikali inataka wawekezaji wote nchini kufanya shughuli zao kwa kuzingaia sheria na kama kuna hujuma kama alivyoeleza Mheshimiwa mbunge tutafuatilia,“ amesema Waziri Kitila Mkumbo.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi