Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ujenzi wa bomba la mafuta sasa ruksa kuanza.

Jumanne , 21st Feb , 2023

Waziri wa Nishati January Makamba ameielekeza mamlaka ya udhibiti wa Nishati na maji EWURA kuhakikisha inasimamia kikamilifu Ujenzi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa kipande Cha Tanzania kutoka Mtukura Mkoani Kagera Hadi Chongoreani jijiniTanga lenye urefu la kilometa 1147

Makamba ametoa maelekezo hayo wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi kibali Cha Ujenzi wa mradi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa Kampuni ya EACOP inayotekeza mradi huo ambao unapita kwenye mikoa nane ya Tanzania hara ikiwemo Kagera,Geita,Shinyanga, Singida,Tabora Dodoma na Manyala

Amesisitiza kuwa mradi huo umezingatia mikataba yote ya utunzaji wa mazingira na haki za binadamu hivyo ni lazima utekelezwe kwasbaabu unamanufaa makubwa ya kichumi katika nchi ya Tanzania na mataifa jirani Mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu ambapo shughuli za awali zimeshaanza kufanyika na mradi muhimu Kwa Tanzania ukigharimu Dola za kimarekani bilioni 4.5

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dkt James Andelile amesema baada ya kufanya tathmini ya kina kuhusu mradi huo mamlaka hiyo imejiridha ndiyo maana imetoa kibali rasmi Cha kuruhusu kuanza utekelezaji wa unezi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa kipande Cha Tanzania kutoka Mtukura Hadi Chongoreani Tanga

Mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu ambapo shughuli za awali zimeshaanza kufanyika na mradi muhimu Kwa Tanzania ukigharimu Dola za kimarekani bilioni 4.5

Katika halfa hiyo imebainishwa kuwa Tayari shilingi bilioni 29 imeshatumika kulipa fidia Kwa wakazi waliopitia na mradi huo na taratibu za kufioa fidia zinaendelea hivyo serikali imewatoa hofu wote watakaopitiwa na mradi huo kuwa wataoata stahiki zao kikamilifu

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini