Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA watakiwa kukusanya mapato halali

Jumanne , 26th Sep , 2023

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, amewataka Watanzania kuwa wazalendo zaidi katika kutoa na kudai risiti ya mashine za EFD ili kuhakikisha mapato ya nchi yanaongezeka na kusaidia kutekeleza miradi na huduma mbalimbali za kijamii.

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande

Naibu Waziri Chande, ametoa rai hiyo wakati akizungumza na wafanyabiashara wa Kata ya Kiusa, wilaya ya Moshi Mjini, mKilimanjaro, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo iliyolenga kutatua changamoto mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara mkoani humo na kuhamasisha matumizi sahihi ya mashine za kielektroniki (EFD).

"Lazima Watanzania tuwe na utamaduni wa kudai risiti tunaponunua bidhaa, na kutoa risiti tunapouza bidhaa, hii ndio chachu ya maendeleo ya nchi hii na itasaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo maji, shule na afya ifanyike kwa wingi," amesema Mhe. Chande.

Aliongeza kuwa, kila Mtanzania anapaswa kuwajibika katika kulipa kodi na kudai risiti halali ya kieletroniki kila wanapofanya manunuzi na ameitaka Mamlaka ya Mapato (TRA), kuhakikisha wanakusanya mapato halali bila usumbufu kwa wafanyabiashara.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala