Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumo wa kuhifadhi Mazao Ghalani uzingatiwe.

Jumatano , 5th Apr , 2023

Bodi ya nafaka na mazao mchanganyoko imesema mazao mengi ya Wakulima yanaharibika na kuoza kwasababu hawazingatii mfumo wa kuhifadhi mazao yao katika maghala ya kuhifadhia nafaka Hali inayodidimiza ukuaji wa Kilimo chenye tija Kwa maendeleo ya taifa

Pichani: kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige.

Ujumbe huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano na Kampuni ya KPMG Kwa lengo ya kuandaa mpango makakati wa awamu ya pili wa kutanua wigo wa kuuza nafaka zaidi ndani na nje ya nchi.

Amesema Wakulima wanatakiwa kuyatumia maghala ya kihifadhia nafaka yaliyo katika kanda Tano za kilimo ili kuwa na uhakika wa kutunza mazao yao katika hali ya usalama Ameongeza kuwa katika mpango mkakati wa awamu ya pili utakaotekelezwa Kwa kipindi Cha miaka mitano Hadi 2028 utagharimu zaidi ya shilingi Milioni 200 ambao utasaidia kutafikia masoko makubwa zaidi ya kikanda na kimataifa

Mkurugenzi wa Kampuni ya kitaifa ya kutoa huduma ya kuandaa mpango mkakati Kwa mashirika ya umma na yasiyo wa kiserikali Adolf Boyo amesema watahakikisha wanashirikiana kikamilifu na Bodi ya nafaka ili kuongeza tija katika sekta ya Kilimo

Pamoja ya mambo mengine katika utekelezaji wa mkakati wa awamu ya kwanza imebainika kuwa Wakulima wengi hawana taarifa zaidi kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazao yao kwenye maghala hivyo mpango huo wa pili utawawezesha Wakulima kuyafikia maghala hayo ili kuhifadhi nafaka zao

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi