Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mavunde ataka ushirika kujiendesha kibiashara

Alhamisi , 15th Jun , 2023

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amevitaka vyama vya ushirika vya wakulima wa mazao mbalimbali, kujiendesha kibiashara ili kukuza uchumi wa ushirika na kujenga vyama imara vyenye kushiriki kwenye ushindani wa kibiashara.

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde

Mavunde ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa Programu ya Taasisi ya ‘WE EFFECT’ ya  ‘Livehoods and Right to Food Program’ (LRF)Jijini Dodoma, ambapo moja ya vipaumbele vya Program hii ni maendeleo ya vyama vya Ushirika. 

"Kufuatia mpango wa Serikali wa kukuza kilimo kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030,Serikali imeweka mkakati wa kuimarisha maendeleo ya ushirika, kuhakikisha wakulima wananufaika na vyama vya ushirika na kuchangia kwenye sekta ya kilimo bila kuwepo na ubabaishaji," amesema Mavunde

Naibu waziri huyo ameongeza kuwa dhamira ya serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha kuwa Sekta ya kilimo inakua na mkulima ananufaika.

"Hivyo ushirika ninaotamani kuuona ni ule ushirika ambao utakuwa imara na ambao utashiriki moja kwa moja kwenye mnyororo wa uongezaji thamani wa mazao ya kilimo badala ya kuendelea kubaki wakusanyaji wa mazao ya wakulima," amesisitiza

Aidha ameongeza "Tumechoka kusikia ubadhirifu na sifa mbaya ya ushirika,tunataka sasa tuone ushirika imara utakaochochea uchumi wetu kwa kujenga viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo chini ya usaidizi mkubwa wa Benki ya Taifa ya Ushirika,".
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi