Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuku waadimika Dar es Salaam

Jumatano , 21st Sep , 2022

Baadhi ya wafanyabiashara na walaji wa kuku wa kisasa Katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kuadimika kwa kitowewo hicho, huku wengine wakiuza ambavyo havijakomaa.

Kuku wakiwa katika soko la Mwananyamala

EA Radio ilibaini kuwapo kwa uhaba huo baada ya kutembelea masoko mbalimbali ambayo wafanyabiashara walikuwa wanauza kuku wadogo wanaokadiriwa kuwa chini ya miezi sita.

Katika soko la Mwananyamala,  wafanyabiashara wengi wameonekana wakisubiri magari yanayoleta kuku bila mafanikio, huku wafanyabiashara wa kuku wakisema hata wanaopatikana ni kuku wadogo na kwamba hawakidhi mahitaji ya soko na wateja.

Aidha, EA Radio iliwaona wafanyabiashara wa chipsi na mama lishe katika masoko ya Mwananyamala na Shekilango wakiondoka sokoni bila kitoweo hicho, huku Mbaraka Said Salum, Mwenyekiti wa soko la Mwananyamala akisema kuwa sababu ya hali hiyo ni kupungua kwa uzalishaji wa kuku kwakuwa wazalishaji wa vifaranga wamepungua na athari za baridi pia.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20