
Picha ya 'feature' inayofanyiwa majaribio na Instagram
Taarifa hiyo itakuwa ikitokea kwa mfumo wa notification kwenye ukurasa wa mtumiaji wa mtandao huo kumjulisha kuwa limejitokeza tatizo la kiufundi ambapo baada ya mafanikio huduma hiyo itasambaa ulimwenguni kote.