Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gharama zibaki vilevile tathimini ifanyike-Nape

Jumatatu , 21st Nov , 2022

Serikali imeyataka makampuni yanayotoa Huduma za mawasiliano kutoongeza gharama ama kufanya mabadiliko yeyote mpaka pale tathimini ya ambayo tayari imeanza itakapokamilika.

Waziri wa Habari na Mawasiliano-Nape Nnauye

Tayari imeanza Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa habari na mawasiliano Nape Nnauye kabla ya kikao cha wadau wa mawasiliano kilichokuwa na lengo la kukusanya maoni na kujadili mamambo ambayo wadau wanatamani kuyaona katuika sheia mpya ambapo amesema tathimini ya mwisho ilifanyika mwaka 2018 na nyingine inafanyika mwka huu ikitegemewa kukamilika kati ya mwezi December na January.

Nape amesema Kwa sasa Hali inaonesha kutokuwepo Kwa mahusiano mazuri kati ya watoa huduma na watumiaji wa Huduma za mawasiliano hivyo serikali imeamua kufanya tathimini ya kina ambayo itakuja na majibu ya gharama gani zitumike kwenye bando usafirishaji wa data,ulipaji wa Kodi uwekezaji na masuala mengi ya kiuendeshaji

“Naomba ieleweke hivi kwa sasa hakuna mabadiliko yeyote kwenye huduma za mawasiliano mpka pale ambapo tathimini itakamilika na hii yote imefikiwa kufuatia kulalamika sana kwa watumiaji wa huduma”amesema waziri Nape.

Hata hivyo ametoa wito kwa wadau kujitokeza kuomba nafasi kwenye baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano baraza ambalo kwa sasa liko na wajumbe wachache kiasi ambacho liashindwa kutekeleza majukumu yake.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20