Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

BancABC Tanzania kuwekeza kwenye bidhaa na huduma

Jumatatu , 10th Apr , 2023

Benki ya BancABC Tanzania, imesema itaendelea kuwekeza kwenye bidhaa na huduma bunifu ili kuendana na hali halisi ya maisha ya kila ya wateja wake.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa BancABC Tanzania Imani John wakati wa futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake.

‘Tumeandaa futari hii ili kuonyesha Umoja na vile tunavyowajali wateja wetu’, alisema Iman huku akisema kuwa benki hiyo imekuwa na utamanduni wa muda mrefu wa kuandaa futari ikiwa ni ishara ya kuonyesha upendo kwa kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Katika futari hiyo iliyowakutanisha zaidi watu ya 300 wakiongozwa na Kaimu Shehe Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Walid Al-hadi Omar ambaye amewataka Watanzania bila ya kujali dini zao kuonyesha Umoja na mshikamano wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Ni kawaida kwa mashirika ya kifedha kuwekeza sehemu ambayo wana uhakika wa kurundisha faida. Lakini BancABC imeonyesha utofauti kwani imeenda hatua mbele na kwa kweli huu ni mfano wa kupongezwa’, alisema Omar huku pia akiipongeza benki hiyo kwa kuendelea kuunga mkono miradi ya maendeleo na hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Imani aliongeza kuwa BancABC imejikita kwenye huduma za kimtandao “kidijitali” ili kuwezesha Watanzania wengi walio nje na ndani ya nchi kuendelea kufanya miamala na kukuza pato la Taifa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto