Chama: 
TLP
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Amana Suleiman Mzee
Idadi Ya kura: 
0

Yustas Mbatina Rwamugira ni kiongozi mwenye uzoefu katika harakati za wafanyakazi na haki za kijamii.

Amezaliwa mwaka 1949 Kijijini Kiwera, Muleba Kagera

Alisoma ualimu na kuhitimu mwaka 1979

Alijiunga na TANU na baadae CCM hadi mfumo wa vyama vingi ulipoanza

Akajiunga NCCR Mageuzi miaka ya 1990 na akawa Katibu wa wilaya wa chama hicho

1999 alijiunga rasmi TLP