Chama: 
CHAUMMA
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Devotha Mathew Minja
Idadi Ya kura: 
0

Amezaliwa Novemba 24,1979

Ana shahada ya uzamili ya uandishi wa habari

Ana shahada ya uzamili ya usimamizi wa fedha

Mwaka 2003-2011 alikuwa mwandishi habari kituo cha Channel 10

2011-2014 aliajiriwa kampuni ya VODACOM kama meneja uhusiano wa nje

2014-2024 Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar

Salum Mwalimu amewahi kuwa mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA uchaguzi wa mwaka 2020