Chama: 
AFP
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Shum Juma Abdalla
Idadi Ya kura: 
0

Ni mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu nchini marehemu Kingunge Ngombale Mwiru

Aliwahi kuwa kada wa CCM na kuitumikia UVCCM

Kunje Ngombale Mwiru anasifika kwa misimamo yake tata kwenye siasa

Profile yake ya WhatsApp ameweka picha ya Rais Samia

Kwenye mchakato wa kumpata mgombea wa AAFP alishinda kwa kupata kura 70 kati ya 97