Chama: 
NLD
Mgombea Mwenza (Makamu wa Rais): 
Chausiku Khatib Mohamed
Idadi Ya kura: 
0

Amezaliwa siku ya mwaka mpya 1974 kijijini Misima Handeni Tanga

Mtoto wa saba kati ya watoto kumi na wawili.

Anatoka kwenye familia ya viongozi ambapo kaka yake aitwaye Zakari Hassan Doyo alikuwa mwenyekiti wa kijiji kwa miaka 15

Ana stashahada ya uandishi wa habari aliyoipata kwenye chuo cha Dar es Salaam City College

Alijiunga CUF akiwa na miaka 19 tu na mwaka 1996 akachaguliwa kuwa mwenyekiti wa CUF wilaya ya Handeni nafasi aliyohudumu kwa miaka 17

Alishiriki kuanzisha chama cha ADC na akamiliki kadi namba mbili ya chama hicho

2016 akawa Katibu Mkuu wa ADC hadi 2024

2024 alijiunga na NLD

Doyo Hassan Doyo ni Katibu Mkuu wa NLD

Muwekezaji kwenye sekta ya madini akiwa na migodi 54 iliyoajiri vijana 400

Anajishughulisha na kilimo cha zao la katani