Wazee Maarfu wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia katika jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara.
Wafanyabiashara wa Batiki
Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli akiwashukuru wananchi wote waliompigia kura kwenye uchaguzi wa Rais uliofanyika tarehe 25,oktoba
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri,
Picha ya Young Killer na Mkuu wa Gereza la Butimba Mwanza