Wanamichezo toka chuo kikuu cha Mkwawa wakipita kwa maandamano ya ufunguzi wa mashindano ya vyuo vikuu Afrika Mashariki mwaka 2013 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka