Mke wa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akiwafariji wagojwa waliolazwa katika wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa ya Meta
Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016