Mkuu wa Wilaya ya Monduli Francis Miti akihutubia wanakijiji wa kijiji cha Meserani juu(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa umezaji kingatiba ya ugonjwa wa vikope(trakoma)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana
Irene Uwoya - Msanii wa filamu
Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi