Aliyekuwa Mkuu wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki ambae sasa amehamishiwa Mkoani Kilimanjaro.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka