
Laudit Mavugo wa Vital’O ya Burundi.
Beki Hassan Ramadhan 'kessy' akiwa katika mazoezi ya Yanga.

Moja ya viwanja vya mchezo wa Tenisi pamoja na vifaa vya mchezo huo.

Ofisi za Makao Makuu ya Shirikisho la Soka nchini TFF.

Baadhi ya wanachama wa Yanga katika moja ya mikutano ya wanachama wa timu hiyo.

Kiungo wa Chelsea Willian akiwa na moja kati ya tuzo mbili alizotwaa jana usiku.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.

Kikosi cha vinara wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, mzee Kingunge Ngombare Mwiru.
Makamu mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga katikati akizungumza jambo katika makao makuu ya klabu hiyo.

Baadhi ya viongozi wa chama cha gofu kwa wanawake wakishangilia ubingwa.
Baadhi ya viongozi wapya wa klabu ya Simba ambao hii leo wamekabidhiwa rasmi ofisi na mali za klabu hiyo.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC.