Mlinda mlango wa Yanga Dida akiwa golini kusubiri mpira ambao unawaniwa na beki wa Yanga, Mbuyu Twite aliyeruka juu kupiga mpira kwa kichwa dhidi ya Jean Kasusula wa TP Mazembe
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.