Aliekua Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally aliesimama akiongea katika moja Mikutano yake na Wananchi (Kushoto) ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo