Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela
Viongozi wa Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chuo Kikuu cha East China Normal University.
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.