Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela
Viongozi wa Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chuo Kikuu cha East China Normal University.
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.