Wakina mama wajasiriamali wakiwa wanauza Korosho katika kituo kikubwa cha mabasi yaendayo Mikoani Mkoani Lindi
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013