Mfungaji wa bao pekee la Ureno dhidi ya Croatia kiungo Ricardo Quaresma.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Poland wakishangilia baada ya kutinga robo fainali ya Euro 2016.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk