Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto
Mshambuliaji wa Yanga raia wa Brazil Gelson Santana JAJA
Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania [Taifa Stars]
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba akipambana na wachezaji wa timu ya Mtibwa Sukar.
Mlinda Mlango wa Simba sc,Manyika Peter
Beki Said Nassoro 'cholo' wa Simba kushoto akichuana na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga kulia.
Mshambuliaji wa Simba Mganda Emmanuel Okwi.
Kocha mkuu wa timu ya Yanga kushoto pichani Mbarazil Marcio Maximo.
Mshambuliaji Mganda Emmanuel Okwi akitambulishwa na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zakaria Hans Pope.
Jengo la makao makuu ya Yanga:Twiga/Jangwani.
