Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba. Waziri Simba wizara yake ndiyo yenye jukumu la kusimamia ulinzi wa haki za watoto nchini Tanzania.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013