
Wafanyabiashara katika soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam
Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

Katibu Mkuu wa chama cha Upinzani cha CCK nchini Tanzania Renatus Muhabi.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini Tanzania Dkt Godfrey Simbeye.

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Godluck Ole Medeye (kushoto) akiteta jambo na waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni mjini Dodoma hivi karibuni.

Mradi wa uwekezaji katika sekta ndogo ya gesi ni moja ya maeneo ambako wawekezaji wamekuwa wakitumia uelewa duni kukwepa ulipaji kodi.

Mkurugenzi wa kampuni ya Swala Oil and Gas, Abdullah Mwinyi (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Bi. Shyrose Bhanji.