
Baadhi ya wachezaji wa timu z soka za sekondari nchini wakichuana katika soka.
Pichani baadhi ya waamuzi wa Tanzania waliohitimu kozi ya uamuzi ya FIFA.
Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Marcio Maximo akiwa na mshambuliaji Jerson Tegete.
Kikosi cha timu ya soka ya TWASA ambayo ni moja ya michezo iliyokatika klabu hiyo ikiwemo netball na sasa masumbwi
Baadhi ya walimu wa soka wakiwa katika moja ya semina za mafunzo kutoka CAF.
Wanamichezo mbalimbali wakiandamana wakati wa ufunguzi wa mashindano ya UMISETA Dar es salaam
Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.

Kikosi cha timu ya taifa stars kikiwa na jezi mpya ambazo zitabadilishwa.

Rais wa zamani wa TFF Leodgar Tenga