Waziri wa nchi, ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bi. Hawa Ghasia. Wizara yake inahusika na kituo kikuu cha mabasi Ubungo.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ndugu Alphayo Kidat
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM