
Mwanadada Serena Willams akishangilia baada ya kushinda fainali ya Wimbledon.

Ratiba ya nusu fainali Euro 2016.
Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa wakiwashukuru mashabiki wao.
Moja ya hekaheka katika lango la Ubelgiji wakati wakishambuliawa na Wales.

Wachezaji Le Bron James na Stephen Curry kuamua bingwa wa NBA

Kocha Zinedine Zidane akiteta jambo na Ronaldo katika moja ya michezo ya timu yao.

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.