Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta Jenerali(IGP), Ernest Mangu

Kushoto ni gari ya Msaidizi wa IGP,Ernest Mangu, Ndugu Gerlad Ryoba picha Ndogo ( Kulia)baada ya kutolewa eneo la tukio

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini Tanzania Absalom Kibanda (anayezungumza na simu) akisalimiana na Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Ansbert Ngurumo.

Mkuu wa polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu. Ofisi yake imetakiwa kueleza alipo rais wa jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini TAHLISO Musa Mdede, vinginevyo wanafunzi hao wataitisha mgomo wa nchi nzima.