Mkurugenzi wa halmashauri ya Chato Bw. Clement Berege.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, CCM, Abdulrahman Kinana

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Abdulrahman Kinana.

Mjumbe wa halmashari kuu ya Taifa ya CCM,na mbunge wa mtama mkoani lini,ambaye pia ni Waziri wa mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh, Bernad Membe

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma - CHAUMMA Bw. Hashim Rungwe Spunda (kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Bw. Ali Omar Juma (mwenye shati jeupe) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kamati Kuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam leo.

Mbunge wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora nchini Tanzania Dkt. Khamis Kigwangala.

Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kulia) akisalimiana na aliyewahi kuwa waziri mkuu Edward Lowassa.

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete.