Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe Salum Kassim Ali

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye
Rais Kikwete akiwajulia hali watu majeruhi katika hospitali ya mkoa ya Morogoro

Aliyekuwa mgombea urais kupitia CCM,na mbunge aliemaliza muda wake wa jimbo la Bumbuli Mh. Januari Makamba

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, na mgombea mwenza wake Samia Suluhu Hassan wakiwapungia mikono wana CCM na wananchi.

Kamishna wa operesheni mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Paul Chagonja

Mbunge wa Mtwara Mjini Ndugu Hasnain Murji akieleza utekelezaji wa ilani ya CCM ulivyotekelezwa vizuri kwenye mkutano wa hadhara
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Ally Mhagama.

Mgombea uras kwa tiketi ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo CHADEMA, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe akiwa anawahutubia wananchi wa Iringa katika uwanja wa mwembetogwa.

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Juma Njwayo akihutubia wakazi wa Tandahimba mjini

Katibu wa ccm wilaya ya Arusha mjini Feruzi L. Bano kulia akimpa maelekezo mtia nia wa kugombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ccm

Katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Bw. Shaibu Akwilombe akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika uwanja wa Fisi.

Katibu Uenezi wa Chama cha Mapinduzi taifa, Nape Nnauye ambae ameshinda kura za maoni Jimbo la Mtama kupita cha hicho.