Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.
Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2016/05/14/Azam-vs-Simba-14ajibuuuuuuuu.jpg?itok=BnD5Jd6s×tamp=1473597173)
Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2016/05/08/jamhuli julio.jpg?itok=OqWGFUqs×tamp=1473575560)
Kocha Jamhuri Kihwelo wa Mwadui FC ya Shinyanga.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2016/05/02/yanga sc.png?itok=dH0UBjZV×tamp=1473553932)
Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.
Wachezaji wa Coastal Union wakishangilia moja ya magoli yao mawili waliyoifunga Simba katika mchezo wa robo fainali ya TFF- FA.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2016/01/16/mayanja2.jpg?itok=k9GHo5Do×tamp=1473352032)
Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.