Baadhi ya waendesha baiskeli wakichuana.
Mmoja wa washiriki wa shindano la Baiskeli nchini akishangilia ushindi wake.
Moja ya mashindano ya Baiskeli nchini Tanzania
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.