Wachezaji wa timu ya Chile wakishangilia wakiwa na kombe lao la ubingwa wa michuano maalumu ya Copa America.

Mshambuliaji wa TP Mazembe Mtanzania Thomas Ulimwengu.

Ofisi za makao makuu ya TFF Karume jijini Dar es Salaam.

Kocha Mkuu wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Marehemu Shaibu Amodu.

Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm (kulia) na Msaidizi wake Juma Mwambusi wakiteta jambo.

Philippe Coutinho akishangilia moja ya mabao yake matatu wakati Brazil ikiibuka na ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti
Baadhi ya wachezaji wa Azam FC