Serengeti Boys wakiwa katika moja ya mazoezi yao jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Shelisheli.

kinda Alexander Zverev akishangilia baada ya kumchapa Federer.

Bondia Francis Cheka akiwa amebebwa juu juu mara baada ya kutangazwa mshindi na kutwaa mkanda wa mabara wa WBF.

Kikosi cha timu ya soka ya Simba.

Mshambuliaji hatari wa Simba Mganda Hamis Kiiza akishangilia moja ya mabao yake.
Mabondia Karama Nyilawila kushoto na Said Mbelwa kulia wakiwa na mwamuzi wa pambano lao la UBO Anthony Rutha.