Mfungaji wa goli la kwanza la Yanga Simon Msuva akiwania mpira na beki wa Esperanca.
Wachezaji wa Yanga Salum Telela [kushoto] na Malimi Busungu [kulia]
Mbunge wa Mikumi na rapa mkongwe nchini Tanzania, Mh. Joseph Haule.
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza katika mkutano huo wa wazi kwa wananchi wa Halmashauri ya Tunduru, Mkoani Ruvuma