Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.
Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib [wa mbele] akishangilia moja ya magoli yake akiwa Simba.

Kocha Jamhuri Kihwelo wa Mwadui FC ya Shinyanga.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.
Wachezaji wa Coastal Union wakishangilia moja ya magoli yao mawili waliyoifunga Simba katika mchezo wa robo fainali ya TFF- FA.

Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.