
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akisisitiza jambo katika mkutano na waandishi wa habari

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue

Katibu Mkuu kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
Rais, Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali mmoja wa wagonjwa waliolazwa kwenye kwenye wodi ya sewahaji, kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa rais Bi. Samia Hassan Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue.