Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungao wa Tanzania Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda.
Baadhi ya walimu wa soka wakiwa katika moja ya semina za mafunzo kutoka CAF.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo