Pochani kushoto Bondia Mtanzania Thomas Mashali bondia wa ngumi za kulipwa akiwajibika katika moja ya mapambano yake.
Mabondia wa ngumi za ridhaa wakichuana katika moja ya michuano ya Temeke.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.