
Riziki Salum kocha wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania.
Wachezaji wa mchezo wa RollBall wakifanya mazoezi.

Moja ya viwanja vya mchezo wa Tenisi pamoja na vifaa vya mchezo huo.

Baadhi ya wanaridha wakichuana katika moja ya mashindano ya taifa.
Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

Jengo la ofisi za makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF zilizoko maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Kikosi kamili cha timu ya Yanga.

Rias wa TFF Jamal Malinzi akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari hawako pichani katika moja ya mikutano yake.

Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 cha Tanzania [Serengeti Boys].

Kikosi cha stars kikifanya mazoezi nchini Chad kabla ya mchezo wa kwanza dhidi ya wenyeji wao hao.

Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika timu ya soka Yanga.

Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Nape Nnauye akimkabidhi cheti bondia Francis Cheka.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.

Baadhi ya wachezaji wa tenisi kwa walemavu wakiwa katika mafunzo.