Wanariadha wa Tanzania wakichuana katika moja ya mashindano yaliyofanyika hapa nchini.
Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Marcio Maximo akiwa na mshambuliaji Jerson Tegete.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba