Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye akipokea nakala ya barua ya malalamiko ya Simba kwa TFF kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Habari ya Simba Haji Manara
Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya wanawake Tanzania Twiga Stars.
Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Mohamed Kiganja akimkabidhi bendera Nahodha wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu , Asha Rashidi.
Aliyekuwa nahodha wa Simba menye kitamba mbele Hassan Isihaka akishangilia na wenzake katika moja ya michezo ya timu hiyo.
Wachezaji wa timu ya Azam na Yanga wakichuana katika moja ya michezo iliyozikutanisha timu hizo.

Msemaji wa TFF, Baraka Kizuguto akiongea na wanahabari (hawapo pichani)

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.

shirikisho la kandanda Tanzania TFF

Katibu mkuu wa wizara ya habari,vijana,utamaduni na michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akikabidhi bendera ya taifa kwa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 15.

Kikosi kamili cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kilichoivaa Nigeria jana.

Jengo la ofisi ya makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.