Cosmas Cheka akivishwa mkanda wa WBF alioutwa hivi karibuni.

3 Jun . 2016

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

15 May . 2016

Mabondia Ibrahim Tambwe kushoto na Said Mbelwa kulia wakitunishiana misuli.

25 Mar . 2016

Bondia Said Mbelwa akijifua kujiandaa na mpambano wake dhidi ya Ibrahim Tamba.

14 Mar . 2016

Francis Cheka akiwa amebebwa na mashabiki mara baada ya kutangazwa mshindi.

1 Mar . 2016

Bondia Francis Cheka akiwa amebebwa juu juu mara baada ya kutangazwa mshindi na kutwaa mkanda wa mabara wa WBF.

29 Feb . 2016

Bondia Ibra Class 'King class mawe' akiwa na mkanda wa ubingwa wa WPBF alioutwaa baada ya kumchapa Mzambia.

14 Jun . 2014

Mabondia Karama Nyilawila kushoto na Said Mbelwa kulia wakiwa na mwamuzi wa pambano lao la UBO Anthony Rutha.

2 Jun . 2014