Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.
23 Jul . 2014

Franccis Miyeyusho akipambana katika moja ya mapambano yake na Mmalawi John Masamba.
24 Apr . 2014