Mamba akatisha uhai wa mtoto Maswa

Mtoto mmoja kati ya watatu waliokuwa wakioga kwenye mto Simiyu  uliopo  kata ya Zanzui wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mamba huku baadhi ya viungo vya mwili wake vikiwa vimeliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS